mmh hili gumu nani atazomea hoja za upinzani zikiwa zinawakilishwa. posho itakuwa vipi na lile swali la kupitisha hoja wanaosema ndio ndiio na wanaosema siyooooooooooooooooooooooo wanaosema ndio wameshinda litafanyika vipi
kwa kweli inasikitisha watoto wakae chini kwa upuuzi wa mtu mmoja. kama anaona anamalizwa kisiasa alikuwa wapi asifanye mchakato wa hayo madawati. kwanza aelezee huo hizo pesa za mfuko wa maendeleo amezitumia viti. mijitu mingine kama mashetani vile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.