Jamani kweli kwa hadhi ya Baba wa taifa unabariki dhihaka hii kwa taifa?? Inamaana kweli Rais hamjui wala kumkumbuka Nyerere halisi. Ila matendo yake pia yanasadifu kweli huenda hamjui. Kwanza kwa maono yangu kutoa picha au sanamu ya Baba wa Taifa kwenye shughuli zilizokinyume...
Nilikuwa najiuliza kwanini wanadai kumuenzi mwalimu Nyerere lakini kila wafanyacho tofauti na Nyerere now nimepata jibu. Kumbe yupo Nyerere wanaemfuata matendo yake ndio yule wa Burigi Chato sio Julius Kambarage Nyerere ambaye ni Rais wa Kwanza wa JMT na Baba wa Taifa. Asanteni kwa kunifumbua macho
Nikuambie ukweli mchungu. Wanaoharibu mashirika ya Serikali ni Biongozi na maagizo yao ya kisiasa. Mfano Schedule inaonesha ndege iondoke saa 2 kisha inapigwa simu mtoto wa Magu anaenda Njia hiyo na anatakiwa apande ndege hiyo, so mkurigenzi anampigia au kumwamuru wa chini yake ahakikishe agizo...
Kuna mjinga yeyote anayeweza kujikamata?? Wanaotuhumiwa ndio hao hao hawataki wachunguzi huru na hawataki mtu aombewe, wala tisheti zinazotaja tu jina la aliyedhurika, hawataki kumhudumia, wanataka akamatwe na afungwe pamoja na maumivu yake. Watu hawa hawawezi jishtaki
Kweli hii mikopo jamani ni kaburi la maskini. Huyo mwalimu anatakiwa alipe kwa miaka 80+ hilo deni🙆🏽♂️🙆🏽♂️Kwa hesabu za ngumbaru mimi. Kwa maneno mengine atakufa bado anadaiwa
We Paschal siku hizi unatetea mpaka uozo na kupaka manukato, kisa tu kufukuzia Ubunge. Dalili zinaonesha ukienda hata huko Bungeni nawe utakuwa walewale wagonga meza na kupraise muda wote. Nyie watu njaa zinawaondolea uwezo.
Mawazo Alfonce na wengine waliokatishwa uhai na hawa nyoka wa kijani CHecheMa wapimzishe kwa amani. Ila hawa nyoka waondoe hata wote kama inawezekana. Amina
Amin amin nawaambia kama tungeacha ushabiki wa kipuuzi kusifia hata visivyopaswa tungesogea kama taifa. Nakushukuru YEHODAYA japo kwa hili moja. Huenda ikawa mwanzo wa kujitambua maana hao watawala wanavimba vichwa na kufanya haya wanayofanya maana wanajua wanayosupport ya watu nyuma yao, watu...
Haya majina yanayoshabihiana na alcohol ni shida tupu. Namfahamu pombe, chapombe, kapombe, mapombe, lupombe, mwapombe .... wote hawa shida tupu. Mkuu kapombe heshima kwako maana pumba unazotemaga sio za nchi hii. Ila unalitendea haki jina good keep it upper.
Wanahitajika na nani kama wananchi tangu zamani waliwakataa according to Augustino Ramadhani na pia katika mapendekezo ya katiba mpya. Kutakiwa na viongozi wa CCM ili kuhalalisha wizi usiseme ni wananchi. Kuhusu kuwatangaza upinzani ni kwasababu maeneo hayo walitumia nguvu kulinda machaguo yao...
Karlo kama mpaka leo hii hujui maana ya uzalendo basi tuna viongozi wa ajabu sana. Anaeua watu wake kisa wanamkosoa na anaetetea raia nani mzalendo?
Ikiwa mtu ameapa kuilinda katiba mwisho akawa mvunja katiba na haheshimu katiba wala sheria kisha walamba viatu wanamwita mzalendo namba moja...
Heshima kwako mkuu. Wazungu wanajua kabisa kuwa vyama vingi hapa nchini ni vya Kitengo yaani vinaendeshwa na kitengo chetu. Hata wewe unajua vema kabisa japo vinajinasibu kama vyama vya upinzani. Ila angalau kwa sasa hivyo ndio vipo active na vinamwelekeo wa upinzani. Hivi kweli inambie CUF ya...
Hii mikataba ya hovyo mmesaini CCM wenyewe leo mnataka kusema Zito ndie tatizo mbona husemi Ndugayi?? Hivyo hivyo kwenye Gas mliwatimua Wabunge wa upande wa upinzani mkapitisha mikataba hii hii ya ajabu leo mnashangaa tena. Mlitukaririsha uchumi wa Gas tukaamini nchi ya asali na maziwa hatimaye...
Asante japo sana. Hata mimi layman nilishangaa kusikia eti kwa sababu kuna Kusudio la kukata rufaa basi sheria itatumika ile ya kabla ya hukumu, hivi kweli wanasheria wetu mnakubaliana na hii kitu??? Kwani ingekuwa ni hukumu ni kufungwa mfano(Bob Wangwe Alivyohukumiwa) na akatoa notisi ya...
Mkuu Quinine hakika umelitendea vema taifa na jukwaa. Naomba hawa wote uliowaongeza kwnye comments wawekwe kwenye thread mama. By the way sidhani kama yupo hata mmoja ambaye sio mwanachama wa CCM kwenye list ya DED nchi nzima. Namshangaa sana huyu AG kulikatia rufaa hili. Hii inathibitisha hata...
Nilichojifunza awamu hii mnajipendekeza sana wazee wa njaa. Kutetea hata visivyowezekana na kwakuwa ni verified id unauhakika wa kupewa kaupendeleo labda ka cheo. Lakini nikwambie tu ndugu wala hatupepesi macho, hakuna cha mashabiki wala nini anaeteka watu ni TISS na Police. Ndio maana pale Mara...
Ni mwenyekiti wa chama Dola chama Chako na wenzako. Anayejiita kichaa au Jiwe. Ndie pekee kikwazo namba moja cha umoja na mshikamano wetu kama Watanzania. Usipepese wala usihangaike kutafuta mwingine. Ni JPM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.