Wadau na madaktari nisaidieni katika hili maana naweza kujiona niko normal kumbe ni abnormalities. Huwa ninatoa manii zikiwa nzito zimeganda wakati wa mechi na huwa zinatoka kwa speed ndogo kama makamasi tofauti na nionavyo kwenye mikanda ya pono. Je? Hii ni kawaida jamani?
Wadau naomba tujuzane hili limekaje kwa hawa viongozi wetu wa siasa? Je, Dr.Shein analipwa mafao ya ustaafu kama makamu wa raisi Muungano? Na akimaliza utumishi wa nafasi aliyonayo sasa atakawa yuko hai ataendelea kuvuta zote? Hili limekaaje ktk inchi kama yetu wadau? Na akina Msekwa na Sita je?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.