Wadau habari zenu mimi ni mwanamke tatizo langu nikila chakula chochote baada ya muda nacheua kila mara kile chakula nnachokula inanikera sana naomba kujua ni tatizo gani na tiba yake ni nini
Wangu mimi alikuwa anachora hadi vitandani utakuta kitanda kimechorwa mashuka ndo usiseme hadi milango yote ikafikia muda akaacha mwenyewe muache tu wakati ukifika ataacha
Niliiona hii ajali mida ya saa saba hivi Bamaga sidhani kama lile gari lilikuwa la msafara maana msafara wa JK ulikuwa umeshapita na magari mengine yasharuhusiwa kupita nalo likatokea
mimi sijakuelewa mdau tatizo la kuongea kivipi lugha unayoitumia huijui vizuri au tufafanulie kidogo tofauti na lugha hiyo lugha ulioizoea pia uko hivyo hivyo au
Hata mimi mtoto wangu ana tatizo hilo kuna wakati mtoto wangu anatoka damu puani huwa zikimtoka namlaza chali zinakata halafu namsafisha ila tiba sahihi sijapata na sijui inasababishwa na nini Mh. Mzizimkavu tusaidie
MziziMkavu mkuu mimi ni mwanamke nina miaka 30 shida yangu ni kupunguza tumbo nina kitambi balaa nikivaa nguo utadhani nina mimba ila sina mimba nataka dawa ya kuondoa kitambi tu
Hata mimi nina tatizo hilo nikila chakula chote kwa mkupuo lazima nisikie kichefuchefu huwa nakula kidogo naacha nbaada ya dakika tano akula tena kidogo naacha hadi namaliza kula nikila moja kwa moja lazima nisikie kichefuchefu na kuna wakati natapika kabisa
Wadau habari zenu, mimi mtoto wangu anasumbuliwa na viuvimbe vidogo kwenye macho ukibinjua jicho kwa chini au juu
kuna ngozi nyekundu kwa ndani basi mtoto wangu anatokwa na vijipu vidogo sana kwenye hiyo ngozi nilimpeleka muhimbili wakamfanyia upasuaji wakavitoa nikajua tatizolimeisha baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.