Huyu jamaa ni sawa na makalio ya kichina ni chukizo na ualibifu kwa watanzania, ni aibu kwa watu sijui likoje hili li MTU shme on him and stupid with Chemba Mwigulu likifumuka tu ni harufu nchi nzima sijui ni kwa nini hili chemba alioni aibu silipendi bora UKIMWI kuliko MCHEMBA
Nina wasiwasi na akili za huyu rais wetu kama ziko vizuri, hivi kwa matatizo tuliyonayo unapata vipi nguvu ya kwenda kwenye sherehe, hakika duniani kuna aina ya watu, yaani unawaza hata hupati picha. Mbona hata kina mseveni wametuma wawakilishi yaani hii kibonde kila shuguli lazima iende...
Hivi unaweza kumshauri huyu jamaa nasikia mpaka uwe mzee wa Tiba mbadala ndiyo anaweza kukusikiliza vinginvyo hawezi kwake mtaalamu na ndumba ni NDUMBA kwanza utaalamu baadae, fuatilia kwa umakini utayajua haya nisemayo juu ya mtu huyu DHAIFU.
JK mimi sijawahi kujua kama ana uwezo hata wa kuongoza familia yake nina wasiwasi mkubwa na huyu jamaa maana uwezo wake ni utata kwa mwenye kumfahamu atupe zaidi maana kazi zake ni DHAIFU kama yeye alivyo DHAIFU.
Unajua siamini kama Tanzania bado kuna majitu mapumbavu kama hili liloleta hii mada sasa CDM watoe msimamo wa nini kwa jambo ambalo siyo official, ikifika mahala kwamba Tanzania inapaswa kuadhibiwa kwa makosa ya kidiplomasia ndipo hapo watu makini wanakuja na matamko na kujua serikali ilihusika...
Jibu analo Kikwete ndiye mwenye wajibu wa kuwatibu siyo ULIMBOKA, kwani ulimboka anachukua kodi ya watanzania ili atoe huduma, kama serikali ina pesa siyo lazima itumie madaktari wa Tanzania inaweza kuagiza nje. Ulimboka hana mkataba wa kukutibu wewe hivi leo madaktari wakasema hawataki tena hii...
Hutakuwa huijui Tanzania au ndiyo unafikiria kwa kutumia TUMBO hivi hapa Tanzania kuna mahakama ya kuwashitaki wakubwa. Nyie ndiyo mafikra njaa mnaoishi kwa kulamba watu miguu yaani unaweza kumshitaki wapi Ridhiwani mwenye uwezo wa kuteua hata majaji. Kama huijui Tanzania piga kimya
Wewe utakuwa Mwigulu au Profesa maji marefu ndiyo wenye maakili ya kipuuzi, hujui hata nani ana wajibu wa kutibu wananchi. Siyo lazima serikali itumie madaktari wa Tanzania inaweza kuleta kutoka nje ya nchi ilimradi watu wake wapate huduma ya afya. Sasa wewe kwa ufupi wa fikra zako unabwatuka tu...
Wewe ulitaka wapiganie nini? Kwani kina nape wanapigania nini? Kila mtu apiganie mahali alipo ndipo ilipofika nchi hii kama huna pa kupigania kula bati
Unamshukuru nani na hoja zako dhaifu kila mara unakuja na upuuzi katika mambo ya msingi, utaendelea kudharaulika mpaka utajidharau mwenyewe kwa sababu umeamua kuchukua njia ya kudharaulika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.