sidhani kama kuna sheria inayokataza ila ina tia shaka hasa swala linapokuwa linashughulikiwa na wapiga deal halafu ukizingatia upepo wa kifedha unaovuma kwa sasa
tunajua tabia ya kutetemekea matajiri ni ya wapi haitupi shida, kuna sehemu fulani wapo tayari kumsalimia mtoto mdogo et kisa pesa unataka tuwe wote hivyo no
siku hizi hizo slogani za kijani haziilipi sijui huyu ni ccm haina maana ukweli mafisadi yametapakaa vyama vyote yanasubiri yapewe utawala.yapo ccm yapo chadema yapo kote.
atayumbaje wakati biashara ya chama inalipa , fedha za ruzuku zinatumikaje kwa maslahi ya chama, miaka ishirini na ushe chama hakina ofisi inayofanana nailiyowahi kuwa hadhi yake ,sasa tembelea nyumba zao ndio utajua fisadi ni fisadi tu hata kama yupo chama cha upinzani. sio kwamba wasijenge...
lini tulikuwa na democracia nchi hii tuzungumzie ndani ya nchi na ndani ya vyama, kama ilikuwepo ilitusaidia nini. tunakwenda kuangamia?kwa lipi kwa kuwa tumekataa kuongozwa kifisadi.
mtalumu sana lakini kosa walilofanya viongozi wenu ni kuuza ajenda adimu ajenda iliyokuwa inagusa maslahi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.