Kitu ambacho C.C.M na watu wao hawafahamu ni kwamba, kwa sasa waTanzania wanachotaka ni mabadiliko tuu, haijalishi ninani ambaye atayaleta, kwaiyo hata kama ni Membe au Wassira angekuwa UKAWA, angeshinda tuu kwasababu watanzania wanachotaka ni kuweka serikali nyingine madarakani, haijalishi ni...
Le mutuz,
mimi huwaga nakukubaligi sana article zako, ila hii ya leo utasea sio wewe bhana.?
embu fanya chambuzi zako kisomi kama kawaida yako. Hii ya leo umechemsha saaaana le mutuuuuuuz.......
Ni kweli mkuu, mbona mueshimiwa kikwete ulisimama mwenyewe 2005 bila ya mkapa, mwache magufuli nae afanye kama wewe. Ili tumpime kweli uamiri jeshi atauweza au.
Ambaye hataki lowassa awe rais wa nchi hii ni bora akakimbia nchi mapema kwasababu ndio rais ajae, hata J.K. alipokuwa anaingia walisema ivo, ivo, mara ooh J.K. akichukua tunahama nchi lakini mpaka leo wamo humu humu. sasa kauli zile leo wameanza kwa lowassa, mara ooh, fisadi. sasa ndowa...
Huyu Lizaboni, sijui amelipwa shilingi ngapi jamani, yaani yeye kila akija ni analia na lowassa tuu....
sijui utajificha wapi july lowassa akiteuliwa pale Dodoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.