Search results

  1. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mwamba mbona unakata tamaa, mm naamini kazi utapata nahaya maneno ya taasisi ziajiri zenyewe, utayapa nafasi tena kikubwa subira muhimu.
  2. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna mwamba kawakanda 91% then wanamwandikia irrelevant qualification dah inasikitisha sana hii kitu.
  3. M

    Mwenye uzoefu wa Internship ya World Vision

    Wapo kasulu,kibondo,kakonko
  4. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mwamba usikate tamaa database inafanyakazi!!
  5. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Bado IT anasomba database usiogope mwamba wakati wowote vijana wanalamba asali.
  6. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mwamba, hakika mumgu ni mwema na anatoa riziki kwa wakati sahihi.
  7. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Muda sio mrefu mwamba, utaleta hapa ushuhuda.
  8. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hawa jamaa wapewe maua yao, wanatenda haki kwa asilimia kubwa.
  9. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Dah nimefurahi sana mwamba kuona ushuhuda wako, hongera sana.
Back
Top Bottom