Hakika nikikuwa sijui kama wabunge hawakatwi kodi,,,kumbe ndo sababu kila kitu kinapita bungeni bila kupingwa kwa maana hawana uchungu. Mimi hata ile overtime na lunch na house alawans inakatwa kodi. Muda umefika wa kuandamana ili wabunge wakatwe kodi kwa huo ni WIZI
Tufanye kila aina ya...
Tatizo hapa tz kila kitu kinapangwa kisiasa na kwa maslai binafsi,huko nje wanamjua Prof lipumba kiuchumi siyo kisiasa. Tumia akili ndogo kujiuliza was she the right person to lead such a potential ministry
Watanzania tuko watu wa ajabu sana kama bendera fata upepo,tunaacha kufanya tathmini ya nchi yetu kwa mfano, mgawo wa umeme,pembe za ndovu,nk. Hakuna hata mmoja anayetaka kuwajibika eti mnangangana na mambo ya chadema,yanawasaidia nini watanzania,,,,,tumekalia umbea tuu,,,,,watanzania wamesoma...
Enzi hizo mawaziri hawakuwa na majibu ya kipuuzi kama wa sasa eti serikali inatarajia,,,,,kulikuwepo na dead line.....vinginevyo shilingi moja ilikuwa inachomolewa kwenye bajeti na kuirudisha ilikuwa shughuli......bunge la zamani lilikuwa na utamu wake
Itawasaidia yatima wangapi,hata kama ni wa sehemu husika je na hao wengine hawastahili? basi angaamuru meno yote ya tembo yauzwe ili yatima waandaliwe mpango maalum wa kuwasaidia
:embarassed2:Lema alipeleka ushahidi kukhusu uongo wa pinda,,spika kapoa kama maji ya mtungi hakuuliza tena,wanatapatapa,,,mara upelekwa chagonja,mara rais,,,,wote mama yao moja,,,,,pelekeni kwa askofu
Lema alipeleka ushahidi kukhusu uongo wa pinda,,spika kapoa kama maji ya mtungi hakuuliza tena,wanatapatapa,,,mara upelekwa chagonja,mara rais,,,,wote mama yao moja,,,,,pelekeni kwa askofu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.