mama angu mama makinda anaendelea kuchemsha tena sasa hvi ndo kaenda kuchemshia nyumbani kwao kabisaa...na kutengeneza mazingira ya cdm..kuchukua himaya yake.Sasa awataje hao waliomfuata kuwa hali yao imekuwa mbaya kifedha tuwajue...kuwa lengo lao la kwanza lilikuwa ni kujinufaisha...
Kama kosa kweli alikuwa nalo..yeye kama mbunge...na dktari kwa taaluma ndo alitakiwa kuunganisha nguvu na serikali katika kutatua hilo tatizo na si kufadhili mgomo kama inavyodaiwa....adhabu ipo pale pale ukienda ndivyo sivyo...
Suala la posho ci jambo dogo kama tunavyodhania ndo mana hata pm wakati anajibu hii hoja alisema kabisa kwamba wataliendea taratibu kuona ni jinsi gani zinaweza kupunguzwa....sasa tatizo tunaleta ushabiki mbele bila ya kufafanua ukubwa wa posho na wapi zikatwe....unafiki sio zitto peke yake wapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.