Nawaza vidonge hamsini vitatosha? Ama nichukue kamba nijining’inize ama ninunue sumu ya panya na vidonge vya usingizi nipotelee usingizini? Nimechoshwa na msongo wa mawazo na moyo wangu kupapatika. Natafakari mambo mengi sana ya dunia hii yanayo tetemesha nafsi yangu.
Baada ya kumaliza elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.