Imekuwa faida kubwa kwa watanzania kujua kuwa baadhi ya wabunge wa viti maalumu ni makuwadi wa mafisadi.
imesaidia kujua kuwa Anna Makinda ni mtetezi wa mafisadi;
Imesaidia kujua kuwa baadhi ya wabunge wa CCM wana uchungu na nchi yao. ....
Sikuwepo muda mrefu. Sasa najua utaacha kutetea kitengo cha JK. IPTL imeletwa na JK akiwa waziri wa nishati na madini 1994; ikalindwa na JK kwa miaka 10 akiwa waziri wa mambo ya nje; na sasa inalindwa na yeye akiwa Rais.
Mwaka huu mmeamua kuua watu kwa pressure... Jamani hata huruma kwa Kinana hamna? Ameenda Uarabuni.. Sasa mikutano hiyo mnayoifanya itampeleka India kupunguza pressure.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.