Dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana na haina mwisho.Chadema walianza kuwabagua waislamu wakamaliza sasa wameanza kuwabagua wakatoliki(Dr Slaa na wenzake) wanajazana walutheri tu(Mbowe,Sumaye,Lowassa).
Kweli nimeamini Slaa anamsimamo na anasimamia kile anachokiamini.Siyo kama manyumbu fulani yanayocheza ngoma ya Dj bila kujielewa.Hongera Slaa napenda wanasiasa wa siasa kama zako popote ulipo wafuasi wako tutakufuata.
Hivi kwa mtu mwenye msimamo kwa misingi aliyojiwekea kuna muda hata wa kutafakari.Msimamia ukweli siku zote haitaji muda kutafakari hata mkiremba maneno Watanzania wa leo watawahukumu kwa matendo yenu.
Slaa na domo lake la kumwita Lowasa Fisadi sijui ataishi maisha gani ndani ya chedema.Siasa za masifa lazima zimtese mbavu kabisa.Mbowe huyo na Lowasa ndo watakao mpa maelezo sasa.
Kwani wewe kwa akili yako ni viongozi peke yao ndo wanakazi ya kutengeneza madarasa?Wewe msaada wako ni nini kwenye kuliokoa hilo darasa lisianguke,Acha siasa uchwara kwa njaa ya tumbo lako unajishushia heshima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.