Wakuu kuna jambo limepitia kwangu na limenitatiza na hivyo naomba ushauri na maoni yenu.
Kuna kijana ambaye yuko kidato cha nne mwaka huu. Kijana huyo jina lake ni Ayubu Bakari Selemani na ndilo alilosajiliwa shule tangu darasa la kwanza. Jina la baba yake ni Bakari Selemani na mama yake ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.