Duuuuu! Hili jamaa bumunda kweli yani hata ssi ambao tunafuatili mapigano kwenye series za ulaya ambao wame advance uwezi utoa hiyo kitu ya bunduki ikatoa sauti
Tunakujua wewe ni CCM, mipango yenu ya kutaka kumtawala kila mtu kwenye jeshi la polisi haiwezekani.
Kwanza kabisa ulivyo fanya uzalimu kwa viongoz wa dini ulifikiri Ni jambo jema Pia tunakujua vizur wewe meahack kwani kwa mara kazaa tumeona mambo yako ya kuwatishia viongozi mbalimbal ikiwa...
Tunakujua pia vizur wewe Meshack kwani kwa mara kazaa tumesikia pia mambo yako ya kuwatishia viongozi wa dini na watu wote tunaokuja hapo kituo cha polisi kijenge kuwa hakuna wakukutisha.
Achilia hayo wewe umekuwa na tuhuma za mauaji ya
Chalii yetu ambae alikuwa fundi anae kaa baraa pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.