This is my true story,
Nina familia. Nilipokuwa mtoto nilikulia maisha ya matatizo sana, sababu mojawapo ikiwa kufiwa na wazazi wangu na hivyo kusoma kwa tabu sana. Lakini namshukuru Mungu alivyonipigania na kufanikiwa kimaisha. Kwa sasa nina kazi nzuri na mshahara mzuri. Tatizo langu lipo...
Jamani wadau JF,
Habari za masiku? Nabisha hodi wadau. Nimetafakari kwa muda mrefu yanayojiri JF nikiwa siyo member na leo nimeamua kujiunga nisipitwe na uhondo wa JF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.