mhm!!!! mapenzi ubunifu wako alafu mnatakiwa muwe wazi kila mmoja tatizo dada zetu hawapo wazi san katika ili, ila ukimpata anayekuwa wazi mbona mtafunja kitanda.
Fatilia kwa ukaribu nyendo zake,alafu ukuwahi kumpa vitisho kam ukinote anakucheat? maanake yupo free san mkuu..! mfano shemejio niamempa ufree nipo tayr kujifuz n kukosolewa pia sipo kamilifu ila yey ndio atakayenifanya niwe kamilifuu.! na kam ikitokea akapata mtu mwngine aniambie tu tuachane...
pole sana mkuu, ndio mapito hayo japo uliyataka mwenyewe.
niwakati wako kupambana na hiyo hali, kumwambie gf wako hitaleta tabu san hitaenda mpk kwny familia ikawa sooo. hat ukimwambia hatakuamini tena mkuu bora angekuwa best yako ila damu moja nommaaaaaaaaa.......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.