Search results

  1. washa

    Kwanini Serikali haijatoa tamko rasmi mpaka sasa kuhusu Makonda kufungiwa?

    Asante kwa taarifa "msemaji wa serikali mtarajiwa"
  2. washa

    Tundu Lissu kuanza kibarua kipya 01.10.2019

    Hakuna lolote!..Lisu atarudi na ataendelea na harakati za kutetea katiba na utawala unaofuata na kuheshimu sheria. Najua nyie watesi wake mtaumia sana kutokana na ujio wake....
  3. washa

    Wito: Nchi masikini ziache kufanya biashara ya anga na badala yake ziachie mashirika binafsi kufanya hiyo biashara

    Nakupongeza Salary slip kwa hoja yako murua na ya kizalendo. Kazi inabaki kwa serikali yetu sikivu ya dkt. John Joseph Magufuli kuifanyia kazi. Naamini kufikia sasa watendaji wamekwisha jiridhisha kuwa uendeshaji was biashara hii si rahisi C.c. barafu
  4. washa

    Waandamanaji wavamia Ubalozi wa Afrika Kusini kudai kuachiwa kwa ndege ya Tanzania. Watatu wakamatwa wakidaiwa kuwa viongozi

    Ni aibu kwa taifa. Kwa kuwa ndege hiyo imekamatwa kwa amri halali ya mahakama na serikali imetuma wanasheria kufuatilia suala hili, inakuwaje intelijensia ya polisi imeshindwa kuvunja maandamano haya?, au wanakibali rasmi!
  5. washa

    Prof Kabudi asitufanye watanzania wote ni wajinga tusioweza kutafsiri maneno mepesi ya kiingereza ya "disappeared and died"

    Mwilapwa (mwalipwa kutetea ujinga) hatuhitaji utetezi wako, alichokisema ktk kipindi cha BBC focus in Africa kiko wazi kabisa. Yeye kama mjumbe was vikao vya baraza LA mawaziri anajua kuwa Azori amepotea na kuuwawa. Kama maneno hayo yalimtoka kinyume na kiapo chake cha uwaziri basis hiyo no...
  6. washa

    Tetesi: MV CHATO Kuzinduliwa kabla ya mwaka 2020 Oktoba

    Kwahiyo tulipe kisasi kwa kupeleka miradi yote chato?...Bado naamini kuwa watanzania tunatakiwa kuweka vipaumbele vyetu vya maendeleo na huduma za jamii kwa uwiano sawa bila upendeleo au ubaguzi. Tanzania ni yetu sote. Tusishabikie mambo ya hovyo yanapofanywa na viongozi wetu
  7. washa

    Tetesi: MV CHATO Kuzinduliwa kabla ya mwaka 2020 Oktoba

    Unastahili kuitwa mbwa kutokana na kutokujitambua kwako!.. Nchi hii ni kubwa na maeneo mengi yako nyuma ktk miundombinu na huduma za kijamii. Kuendelae kupeleka miradi chato kwa upendeleo wa kiasi hicho ni kutowatendea haki watanzania. Acha kushabikia upumbavu
  8. washa

    Kamati ya Maadili yamsimamisha Stephen Masele kutohudhuria vikao vitatu vya Bunge. Spika Ndugai apendekeza asamehewe

    Mwenendo wa bunge la ndugai unazidi kudhihirisha udhaifu wa chombo hili kutokana na maamuzi ya kiongozi wa bunge. Ndugai amekuwa akiitumia kamati ya maadili kama mhuri wake wa kufanya visasi na kuwakomoa asiowapenda, suala lisilo na tija kwa taifa. Kwanini anashindwa kulielekeza bunge ktk...
  9. washa

    Spika Ndugai wengi tunajiuliza kama kweli una nia njema ama nia isiyojulikana. Hivi kweli huoni kabisa?

    Ndugai analiaibisha bunge na hii inadhihirisha kuwa bunge in dhaifu na limeshindwa kufanya maamuzi yenye tija kwa taifa. Kamati ya maadili haina maadili wala maamuzi guru, ni rubber stamp ya ndugai. Poleni watanzania
  10. washa

    Spika Ndugai anachanganya sana mambo. Hawezi akajilinganisha na Prof. Assad kabisa

    Kila linaposemwa neno dhaifu, jamaa huhesabu vidole vyake vya miguuni halafu anapanik!..hapo hekima yote hupotea na kuanza kubwabwaja hovyo
  11. washa

    Tunarudi nyuma? Uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kwa 4%

    Tusishangae kwa Haya yanayotokea ktk uchumi wetu, jamaa alishatuambia lkn wengine hawakumuelea.
  12. washa

    Arusha: Serikali ya Tanzania yabwagwa kesi ya kupinga sheria ya Huduma za Habari

    Ni habari njema kwa mustakabali wa Taifa letu. Huu ni wakati wa serikali kujitafakari!
  13. washa

    Kwa WANACHADEMA na Wapenda Haki wote

    As compared to ndugai?.....
  14. washa

    Lijualikali amuita Spika na Ofisi yake 'Wahuni'!

    Alexelias inaonyesha wewe ni mgeni hapa mjini!...huyu jamaa yako ndugai mbona ni mhuni wa muda mrefu!... Ulikuwa wapi alimpomchapa bakora hadharani mgombea mwenzake?. Au hukuwahi kusikia kauli za kuhusu mbunge mwenzake lisu? Mbona yapo mengi tu ya kifamilia ambayo anaya handle kihunihuni tu...
  15. washa

    Lugola umemsikia Esther Matiko?

    We Vitalis, mbona unajitangaza ujinga wako kiasi hiki?.. Unafurahia mateso kwa binadamu wenzio!...Ndani ya gereza kuna wafungwa na mahabusu. Wafungwa ni wale ambao makosa yao yamethibitishwa na mahakama lkn mahabusu ni watuhumiwa, hawaja thibitishwa kuwa wamekosa na hawastahili kuadhibiwa kabla...
  16. washa

    Lissu kupewa fedha za ubunge bila kuwepo bungeni ni hoja ya ukaguzi!

    Huo utaratibu umeandikwa wapi na ni kwa sheria gani?...nyie watu inabidi muwe na aibu!...hamumuogopi Mungu?...mbona mnashindwa kufuata sheria na badala take mnajiegemeza ktk maagizo ovu ya mtu mmoja aliejaa hila. Hampendi demokrasia na hata katiba ya nchi hamuifuati. Nyie kina jingalao watu...
  17. washa

    Lissu kupewa fedha za ubunge bila kuwepo bungeni ni hoja ya ukaguzi!

    Kama haikuwahi kuwa tatizo ndugai alipoenda India kutibiwa ugonjwa "usiojulika" na bado akalipiwa gharama za hotel I ya kifahari, wasaidizi nk basi hakuna tatizo kwa lisu. Labda kama kunaishu nyingine
  18. washa

    CHADEMA kuongea na vyombo vya Habari kesho

    Waliositisha mshahara wa Lisu wanatarajia kuzipiga pesa hizo.
  19. washa

    Elections 2015 Ilani ya CCM 2015-2020 - Uchaguzi Mkuu 2015

    Eti ee!...tarehe 30 Desemba2018 aliyoiahidi waziri mkuu bado haijafika, na pia ule uwanja wa ndege wa chato bado haujaanza kujengwa!...hapa kazi tu kwani hujaona kuwa korosho zote zimesha nunuliwa, tena kwa bei elekezi na wakulima wote wamelipwa cash. Kusini kuchele.
Back
Top Bottom