Umenena sahihi kabisa !
Dawa kunywa mara tatu kwa siku tulikuwa tunajua ni kila baada ya masaa manne tunatakiwa tunywe au tuwanyweshe watoto wetu !
Na ndivyo tulivyokuwa tukifanya miaka nenda rudi until recently !
Tumekumbuka shuka kumeshakucha !!
Paragraph ya mwisho ya mleta mada ndio hitimisho zuri ambalo limeeleza hali halisi ilivyo kwa watunga sera wetu ambao wao ndio wamechanganya juice bia na mataputapu pamoja !! 🙏
Mpaka Wazungu wanajitahidi kuharibu legacy ya Mwendazake 😅🙏
Wanaogopa sera zake za kuwabana mabeberu wasitoroshe madini inaweza ikaigwa na Nchi nyingine za Afrika 😅😅🙏🙏 !
Hii yote ni kuwafanya Waafrika waamini kwamba sera za yule jamaa hazifai kabisa ndio maana alipoondoka tu sasa Tanzania...
Pesa za kula huwa sio issue kwao maana wanazo nyingi sana hata zingine hawajui pa kuziweka !!
Kitu ambacho huwasumbua ni kukosa peace of mind inayowapelekea kuwa na wasiwasi wa nini kitatokea mbele ya safari !!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.