Katika mambo ambavyo hutakiwi kuhoji saaana nai mambo ya Imani vinginevyo utaishia kukufiru!!! Ni kazi ngumu sana kumsoma Mungu na ninadhani haiwezekan!! Na Mungu si mwanadam na hafanani na chochote na tumeambiwa tusimfananishe na chochote, japo Tena hapo hapo tunaambiwa tumeumbwa Kwa mfano wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.