Search results

  1. A

    Hamad rashidi kutangaza chama kipya leo wawi

    HONGERA HAMAD RASHID kwa ujasiri wako wa kutumia uhuru wako wa kujitamka,na kuchaguwa. Uliyoyataja katika "Yaliyojiri " yameamsha wengi. HAPANA UTUME WALA UMILIKI WA CHAMA NA SIASA ZA ZANZIBAR.WEWE MZANZIBARI-MTANZANIA UNA UHURU WA KUJICHAGULIA . Fuguwa chama na hilo litakuwa ni pigo kubwa...
  2. A

    Jussa: Tibaijuka amepotoka

    Uasili wa upotohaji kadhia hii ni ile namna wanasiasa husika walivyoiaanda mada hii kwa misingi ya jazba na Ugomvi badala majadiliano ya kiheshima baina ya wote wahusika . Waliochaguwa Monologue badala ya Dialogue ndio wapotoshi - Nini kilichokuja kwanza YAI AU KUKU ? Hilo ndilo suala la...
  3. A

    Hamad rRashid aiteka Wawi

    Napeleka hongera zangu za moyo kabisa kwa Hamad Rashid kwa Ujasiri wake ,kujitowa kwenye shemere za Seif na Jussa .Hamadi sema kweli bila ya kuitowa makali.Wakati umefika unafiki na uyakhe yakhe ukome. Umiliki binafsi wa chama ukomeshwe - unafiki na masikilzano ya kisiri siri baina...
  4. A

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    Faida zote zimo katika kiinyume ya zile hoja zote za Wapinzani wa Muungano wa dola mbili huru.Wakizisahau hisia butu za "Usisi/Utanganyika" na "Uwao/Uzanziibari" au kuwacha hisia butu za "Uvisiwani dhidi ya "Ubara" na badala yake kuboresha na kuudhibiti Utanzania,wenye misingi ya jadi ya...
Back
Top Bottom