Wazungu wanasema "you do not bite the hand that feeds you" kwahiyo its unrealistic kufikiri kuwa Tendwa atafanya chochote kuhusiana na hilo anasema analishughulikia ili tu aonekane kama vile he is going to do something but in reality decision ilishafanyika anavita time tu...
Mimi nakubaliana na wewe sio sawa kuyafumbia macho matatizo ambayo yame-exist kwa muda wote aliokuwa madarakani ili kuja kufanyia kampeni baadae. kama hakufanya hivyo for the period alikuwa madarakani atawezaje kufanya sasa hivi?????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.