Nipo Mwanza ni kama dk 25 zilizopita WAMEKATA. Hivi kuna kigugumizi gani kusema kuna mgao!!!! Watu tunashindwa kupanga mambo muhimu yanayohitaji umeme, sababu hujui kama utafanikiwa. UNAJUA WANAKERA, WANAKERA HADI BASI Sijui ni mbinu ya nini au ni kumfaidisha nani na kwa namna gani?. Hata...
Lo! nakumbuka nauli ya uda ilikuwa sh moja na magari binafsi yakaruhusiwa kutoza sh tano, wakati huo iliitwa dala (sijajua kama ililingana na dola). Makonda wa magari hayo ya binafsi wakawa wanatangaza hiyo bei ya sh tano, kuwa usiingie humu bila dala! Ili kuita abiria wakawa wanatangaza - Dala...
Yoote tisa anaweza kuwa anatafuta mzigo wa NYARA ZA SERIKALIkwa ajili ya kusafirisha ili aweze kupata hela za kuihonga ccm ili abakie madarakani. Meli zake hazina mizigo kwa sasa baada ya udhibiti. kuwa na madaraka makubwa kwenye nchi ya watu kama hii ni kutamu sana.
labda wanaelezwa kuwa elimu sio lazima waweza kufanya biashara ya nyara na huko kigoma jamaa si amesafiri kwa treni atakuwa amewaona wengi humo njiani. Anawaambia mna mali asili nyingi hamna haja ya darasa!!!!!
Nakupongeza kwa majibu/maelezo mazuri yenye mwelekeo,
Nashauri viongozi wajipange kufika maeneo yanayodaiwa kuwa ngome za ccm ili kuwaamsha watu juu ya ukandamizaji unaofichwa kwa kisingizio cha miradi michache isiyo hata na ubora unaokubalika.
Mmoja ametaja kuwa kuna mamluki ndani ya cdm ambao...
Serikali kama haina hospitali katika wilaya fulani inatafuta hospitali gani ipo katika eneo hilo, bila kujali ya dini gani na baada ya kuipata inaiteua hiyo kuwa ya wilaya, na wataalamu wake watapelekwa hapo ili wawahudumie wananchi wa wilaya hiyo. Ikiwa inafanya hivyo lazima pia ipeleke dawa...
Wazo la kuwa na TV itakayojitegemea ni zuri zaidi, kwa sasa si rahisi kupata kituo kitakachokubali kuonyesha yaliyoko huko vijijini yanayoonyesha udhaifu wa serikali na kikawa salama. Siku Lukuvi yupo live star TV alipigiwa simu na msikilizaji aliyeponda sana mafanikio aliyokuwa anayataja...
utendaji na mawasiliano kupitia simu ya mkononi ya rais, mh nadhani anatakiwa ajiulize kwa wenzake simu ya rais inatumika namna gani, kwani hata wale walio na mambo ya kipuuzi watapiga au kutuma sms. haiwezekani rais apigiwe na kila mtu, ingetakiwa apokee mtu wa kujua nani anapiga na ana shida...
Yote tisa nilipenda kama kuna mtu anaweza kutusaidia kutuwekea ile hotuba ya Mzee Mangula. Maana ni fupi mno na pengine mnaojua kuzichambua msaidie kwa nini ilikuwa vile.
Ukiangalia picha hizo ni kichefuchefu, maana utakutana na mashangingi kibao ambayo hata pinda anajua kuwa ni gharama kubwa kuyaendesha, lakini wanayo tu na wanayaongeza zaidi sijui hawajui hali ilivyo vijijini. Na sasa hivi naangalia Lwaitama anafoka kujenga flyovers wakati watu hawana maji...
nilikuwa nalinganisha idadi ya watu waliokuwa eneo alilouawa mwandishi na hapo kidongo chekundu, nimeona tofauti ni kubwa mno nadhani hawa viongozi hawako hapa kwa maslahi ya umma ila wamekipania chama kimoja tu ambacho wanajua kinakuja kunyang'anya tonge mdomoni. hawana ujanja ila kujaribu...
Tutajiridhisha kuwa mambo ni shwari, lakini hakika kama hakuna maridhiano ya dhati ni kujidanganya kabisa. mfano mzuri na wa karibuni ni walimu ambao serikali iliona kama wameridhiana kumbe haikufanya tafiti ya kutosha kujua kama wamekubaliana kwa dhati, kumbe walimu walitoka na kinyongo kibaya...
Hakika ni aibu kubwa mno watu tumeona tu Naibu spika kaganda na mkono wake mfukoni akiweka miwani, sijui hii tv ni ya aina gani ambayo hata haiwezi kubalansi mambo. Loo!!!! Tunaomba jioni ITV, Star Tv mtupe full coverage ya kilichoendelea baada ya hapo - tafadhari sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.