Kipimo cha wasanii wetu ni kwa wanachokiimba na kuigiza ni mapenzi na kuharibu vizazi kwa Mambo ya ajabu. Hii ni kufanya kazi kwaajili ya njaa ya tumbo na akili. Sasa penye mfupa ndo wanaelekekea naamini hata ikawa chadema wataenda tu maana ni njaa, japo wanaitumia Kama haki yao kidemokrasia
Siyo kila mzee anabusara hata wajinga huzeeka. Taifa linapelekwa kwenye mfumo wa familia taratibu na Kuna ambao wanaofanya hivyo kujiwekea Kinga kwa makosa waliofanya
Namaanishi tusiwe wepese kutoa banz ndan ya Jicho la wengine letu tumesahau. Wao walikubali vip kutoa ilihali wanaona kuna wizi kisha waje kulalamika leo, huu n upungufu wa fikra. Ndio maana wanatutungia sheria za hovyo kabsa
Mimi naamini bila upinzani hata hapa tusingefika. Iwapo upinzani ulikuwepo toka enzi za uumbaji mpaka leo basi tuwaombee wapinani wa kweli waishi ili kufikia malengo, japo usiwe wa kudidimiza maendeleo
Mm sijaisoma, ila iwapo kipo hicho kpengele basi haiasksi tafsiri halisi ya haki na wajibu. Iweje asipewe alichokisimamia kama ushahidi
NEC acheni kuandaa mazingira ya watu watakaoshindwa kwa haki kulalamika na kuleta ghasi bila sababu. Naamni wadau watalifanyia kazi kwa kuwa NEC nayo inawatu...
Una Uhuru wa kusema , ila pengine tutachangia, JK kweli kabsa hakufanya chochote hvyo JPM ndo kaanza yoote kwa upya kweli? Muogope Mungu. Mm naamn alitenda mengi kwa Aina yake ya uongozi. JPM nae anatenda yake kwa style yake japo changamoto zinatofautiana ndug yangu. Kuwa mtu wa kushukuru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.