Wadau National Bank of Commerce mwezi January mwaka huu walitangaza nafasi nyingi za kazi na mimi ni mmojawapo niliyeomba moja ya nafasi hizi.Hadi sasa naona ni kimya,naomba kujuzwa kama wamekwishaita watu kwenye usaili au bado?Tafadhali mwenye taarifa kamili atujuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.