@Gaijin;
Umechangia kiasi kwa mie ku-post hii thread baada ya kuona ulivyo-comment kwa mtu mmoja aliyesema kaka yake karogwa. Nikaona na mie nipost hiki kisa changu maana naona imani inaanza kutiswa na ibilisi. Jamani If I could give you details of my story, mtashngaa tunayofanyiwa na huyu mtu...
Habarini wanajamvi,
Inahitaji moyo wa ujasiri sana kutokeza kwenye jukwaa lililojaa wasomi, wacha Mungu, na watu wenye exposure ya kutosha kuja na mada ya uchawi. Hadi naandika haya sijui am half confused. Mimi mwenyewe I dont practice witchcraft and dont believe in it lakini kuna sequence...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.