Jimboni kwa Nkamia miundombinu shida kila masika. Hali ya barabara jimbo la Chemba (CCM) la Juma Nkamia ni mbaya hasa kipindi cha masika.
Viongozi na wawakilishi wa wananchi wamevaa miwani ya mbao.
Sent using Jamii Forums mobile app
HII NDIO HALI HALISI YA HUDUMA ZA JAMII JIMBONI CHEMBA KWA NKAMIA, 80% YA VIJIJI VYA WILAYA YA CHEMBA VINA UPUNGUFU WA HUDUMA ZA JAMII HASA MAJI.
Mkazi wa Kijiji cha Tandala, Wilaya ya Chemba, mkoani Dodoma, Aisha Khalifa akichota maji ya kisima kwa ajili ya matumizi ya nyumbani kijijini hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.