Wana JF Salaam!
Naomba nieleze machache kuhusu kisiwa cha Ukerewe.
UKEREWE ni miongoni mwa wilaya zinazounda mkoa wa Mwanza. Ni miongoni mwa wilaya za mwanzo mwanzo (kongwe) kuanzishwa nchini Tanzania. Hii wilaya ina jumla ya wakazi wapatao 345,147.
Mbali na kuwa wilaya, Ukerewe ni kisiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.