J1 hii ktk bandari ya Mombasa, meli iliyobainika kuwa na mzigo wenye kiwango kikubwa cha mionzi ya nuclear ukiletwa Tanzania, ilizuiliwa na kuamriwa kurudisha mzigo huo ulikotoka.
Haijajulikana huo mzigo ni kitu gani! Nani muagizaji! Na ulikuwa unaletwa Tanzania kwa madhumuni gani.
Cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.