[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
bro ulikuwa utani tu wala sikuwa na maanisha maana kilichotokea kwako na me kinaweza nitokea coz na me nina mtoto wa kike so siwezi kubaliana na hili
Sio kila kosa mtoto anastahili kupewa adhabu ya bakora. Adhabu ya bakora inapaswa kuwa adhabu ya mwisho baada ya adhabu zote alizopewa mtoto kushindikana na kawaida mtoto wa kike anapaswa kuchapwa mkononi na siyo kwenye makalio.
mtoto kuadhibiwa kwa kosa la mzazi ni kosa.
"Siungi mkono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.