Nina tatizo zaidi ya mwaka sasa huwa nadondoka na kukakamaa na povu likinitoka kama ninavyoelezewa na ndugu zangu.
Kama kuna anayejua dawa ya haya maradhi naomba anisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.