wanajf mi natafuta nikinunue kitabu cha human rights in tanzania cha chris peter maina nimezunguka maduka la dar es salaam printers, tanzania publishing house,scolastica bookshop bila mafanikio yeyote anayejua kitabu hiki kinapouzwa anifahamishe nikinunue au aniuzie namba yangu 0713 747 679
hivi karibuni nimeona kwenye web ya heslb kwamba equivalent entry candidate ambao hawasomi ualimu na sayansi siyo eligible candidate kukopeshwa elimu ya juu nauliza wanajf nimeelewa sahihi ? binafsi sasa nasoma diploma ya sheria natarajia kusoma LLB mwakani je nitapata mkopo? na kama ctapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.