Wakuu nawashukuru sana kwa miongozo mlokuwa mkitoa since day one naanza interview za utumishi hatimae nami nimebahatika katika mkeka ulotolewa leo mchana....... Ningependa kuwashaur tusikate tamaa kwa mliobaki ni swala la muda tu
Pia kuhusu swala tulilolizungumzia mda mrefu la STATUS kwenye Web...
Nmeandikiwa kuwa sijawa SHORT LISTED kutokana na kutoweka passport size wakati ipo na ninahakiki kila Mara kabla ya kuapply na nmeitwa interview kadhaa lakin hii ni ya umuhimu zaidi kwangu lakini wameniacha kwa kuniandikia sababu isiyo kuwa sahihi...hivyo nnaomba aliewahi kuwasiliana nao kwa...
Mfano mimi Nimekuwa not shortlisted wanadai sijaweka passport size photo wakati ipo tangu nafungua account na huwa naitwa isipokuwa sasa ndo wanatoa hizo sababu
Naomba kama kuna namba ya simu inayojulikana inapatikana utuwekeee hapa mkuu sababu hata me nimetemwa mkeka wa muhimbili ilihali kila kitu nimekamikisha na nishaitwa interview kadhaa
Juzi kwenye ajira za Tamisemi kuna nafas kama mia7 na point zilibaki bila watu na hiz za leo naona pia kuna nafas watu hawakupatikana so zitatangazwa tena...kweli Afya mpo vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.