Ratiba ya Bunge inaonesha tarehe 31/03/2015 kutakuwa na miswada miwili inayofanana kimaudhui. Mmoja ni Muswada wa Baraza la Vijana Tanzania, 2015 (wa serikali) na mwingine ni muswada binafsi wa Sheria ya Baraza la Vijana la Taifa, 2013 (wa JJ Mnyika).
Cha kushangaza, inaonekana serikali...
Nchi inaangamizwa sio na watu waovu bali na ukimya wa watu wema. Kila la kheri kwa vijana wote wanaoendelea kujitokeza katika maeneo mbalimbali. UKAWA ndio mpango mzima CCM walie tu!
UENYEKITI BAVICHA: PASCAL PATOBASS NYUMA YA PAZIA NA UFADHILI WA ANTHONY DIALLO.
Utangulizi.
1. Pachal Patrobas ni mwajiriwa wa kampuni ya sahara media Group Limited akiwa kama Mwanasheria wa Sahara Media Media Group Limited, lakini pia akiwa kama kwenye kitengo cha HR ya kampuni hiyo...
Tumetambua athari ambazo nchi yetu imekumbana nazo kutokana na mfumo wa kiimla uliotokana na mfumo chama kimoja cha zamani ambacho kimefubaa na kubaki kuendelea kuendesha siasa za majitaka kwa kuibambikizia Chadema kesi na tuhuma zisizokuwa na macho wala uakinifu.Pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.