Inasikitisha sana kuita watu 1400+ kwa nafasi 8 tu.
Nina uzoefu wa kufanya interviews na hizi taasisi za serikali, kwa kumbukumbu niliyonayo Mwaka huu TIRA (Mamlaka ya bima) waliita watu 117 kwa nafasi 3, NSSF waliita watu 234 kwa nafasi 4. Ukweli ni kwamba waliokuwa na memo ndio walioitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.