Wakuu habari za muda huu,
Waajiriwa wa ajira mpya za TAMISEMI tulivyoripoti kwenye Halmashauri zetu ili tuanze kazi..
Tuliambiwa tuandike barua za kuomba pesa ya kujikimu ambapo tuliambiwa tuandike Tsh. 80,000/= per day..
Baada ya kufatilia kwa watumishi wenzetu waliotutangulia kazini...
Habari za muda huu wakuu.
Mimi ni miongoni mwa waajiriwa wa ajira mpya zilizotangazwa na TAMISEMI mwezi wa 6, 2023..
Sasa kabla sijapata kazi serikalini nilkua natumia EQUITY BANK kwenye kupokelea mishahara yangu kule nilipokuwa nimeajiriwa. Baada ya kuajiriwa serikalini nikatakiwa nijaze...
Habari wakuu,
naomba mwenye softcopy ya kitabu cha "The Shyness and Social Anxiety System" kilichoandikwa na Sean Cooper, anisaidie nimekitafuta sana mtandaoni bila mafanikio.
Asanteni🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.