Tunajua nnacho kitaka ila mmekwisha hamfanikiwi kamwe nyie si walewale wa loliondo simnategemea mbebwe na wandishi wa habari ila ukweli ukidhihirika mtanyamaza kimpya kama babu wenu wa loliondo
cdm kuweni waw azi mimi cna chama lakini, yakisemwa mambo ya kweli kuhusu cdm mnapinga watanzania cio wajinga kiasi hicho wameona, kuweni wazalendo kwa masilahi ya watanzania wote.
cuf ni kweli mnaweza recodi zenu zinafahamika, tunawaomba cdm ambao ni ccm ( c ) wajifunze kutoka kwenu waache tamaa hawawezi kufanikiwa kama, wanashindwa hata kufanya kazi na vyama vingine,hivi wataweza kuiongoza TZ yenye watu wenye dini tofauti kabila tofauti, au ndio itakua serikali ya...
Tatiza chadema hamsemi mtawafanyaia nini watanzania. Kubwa kwenu majungu zidi ya cuf inaonyesha cuf wako makini zaidi ndio maana akili zenu zote zimehamia kwao.
semeni chadema mtawafanyia nini wa tanzania mbona siku zote mnawazungumzi cuf inaonyesha cuf wako makini ndio maana akili zenu zote zimehamia kwao. tunataka sera sio majungu. mtatiro endeleza mapambano wafundishe siasa cdm
Watanzania kama tunahitaji maendeleo inatubidi kufanya mamuzi sahihi, vipo vyama ambavyo zamira zao ni kuwadanganya watu ili wapate umaarufu wa kisiasa, bila kuwaambia watawafanyia nini watanzania, cdm sio chama makini hata kidogo. Kama chama kinadanganya watu eti cuf ni ccm b ni kitu ambacho...
Cuf, matokeo haya yawe nichangamoto ndani ya chama. Mm binafsi sikutegemea hivo. Cuf wamesimamisha mgombea mzuri sana, na sera zake ni zuri wamefanya kampeni za kistaraabu bila fujo, ila nimegungua ikohaja ya wananchi kuelimishwa, watu wanafwata mkumbo wa ushabiki na propaganda bila kufikiria...
Tunajua, itv wanampango wao maalum, na chama hicho lakini kama hawataki kuonyesha uhalisia wa mikutano ya chama hicho waache kabisa, cuf ipo na itaendelea kuwepo, hata mm nilikuwa najiuliza ukiangalia tv nyingine ni tofauti na itv, haya endeleni na wachaga wezenu tutafika hapo mnapo pataka. Itv...
kama kiongozi wa serikali ndani ya ya jamhuri ya mungano wa Tanzania, chadema njie mnaona mita tano mbele wenzenu cuf wanaona mita 100 mbale ukweli ndio huo. mambo waliofanya cuf mwika ya nyuma ndio nyie mnafanya sasa kama maandamano cuf wamefanya sana nawambia endeleeni hivohivo mtaishia...
Jamani kueni macho na wanafiki, hayo sio mawazo ya wanaigunga hizi ni habari za kutengeneza, kama kweli mnapendwa mbona juzi mlishindwa kusimamisha mgombea, wangesema cuf sawa. Chadema kwa uongo nyie nimwisho, anawaonea haruma uongo wa aina hii haukubaliki.
Mgombea mwenye uwezo mkumbwa igungu ni mahono, wa cuf ukweli ndio huo na sisi wanaigunga tutamuunga mkona huyu atatufaa nyie endeleni na malumbano yenu. Tunajua mnapigania masilahi yenu bnafus sio ya wanaigunga
WATANZANIA MBONA HATUTAKI KUWA WA KWELI? KAMA NDIO HIVI IPO KAZI YA ZIADA YAKUFANYA, UKWELI CUF IGUNGU WANANAFASI KUBWA YA KUSHINDA SEMENI UKWELI HATA KAMA UNAUMA. USHABIKI WA CHAMA NA HALIHALISI YA MAMBO TOFAUTI KABISA, MUACHE UONGO WACHENI WANAIGUNGA WACHAGUE WENYEWE, CUF JIPANGENI VINZURI...
watanzania mbona hatutaki kuwa wa kweli? Kama ndio hivi ipo kazi ya ziada yakufanya, ukweli cuf igungu wananafasi kubwa ya kushinda semeni ukweli hata kama unauma. Ushabiki wa chama na halihalisi ya mambo tofauti kabisa, muache uongo wacheni wanaigunga wachague wenyewe, cuf jipangeni vinzuri...
Sasa wewe hujui kuwa vyombo vya habari vimewachoka hamna habari? Subiri uchaguzi mdogo igungu ndio utaona matunda yenu wanannchi watakavyo wakataa, maendeleo hayapatikani kwa maandamano siri ya maendeleo ni umoja lakini kwasababu cdm kampuni ya watu wabinafsi hilo hawalioni, wamevaa miwani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.