Tulipwe na fidia zetu sasa maana nyumba zetu zimewekewa x kwa ajiri ya mradi huo takriban miaka 5
Halafu hili swala la serikali kuchukua maeneo ya watu na kuyahodhi kwa mda mrefu bila fidia yoyote inashusha morali ya maendeleo sana
Mtu akiwa hatarishi ndani ya serikali ya ccm ataandamwa kama mbwa mwitu
"Nimekuwa nikiibua kashifa kubwa bila uoga,sasa wana ubungo nipeni kibali niwe mbunge ili niibue makubwa zaidi bila uonga maana nitakuwa na kinga ya bunge" haya maneno ccm bado yanawapa wakati mgumu sana maana wasiempenda...
Nimekosa neno la busara la kusema kwa huyo mama pamoja na kwamba mtu akifa huwa tunafuta madhambi yake yote ila ile kauli yake ndo inayofanya maalim seif asipewe Nchi hadi leo
"Na mie siamini kama kafa kwa mujibu wa ITV hadi niione maiti yake"
Sasa ile mikataba 19 aliyosign mkwere pale ikulu akiwa na Rais wa china itakuwaje?
Msaada wa magari ya police tuliyopewa kipindi cha uchaguzi tutawalipa nini wachina?
Nilishawahi kuuliza kama kina cha bandari ya bwagamoyo nichakuongeza wakati bandari ya Mtwara na Tanga zinakina kirefu...
We unashangaa hilo? Wakati Ndani Ya Nchi Moja Unalipia Ushuru Wa Gari Mara Mbili
Unaingiza gari zanzibar toka Uk au Japan then Zanzibar unalipia ushuru Mfano M3 kwa gari kama Rav4 kilitime kisha ukiileta dar napo unalipia ushuru m4.5
Plate number za zanzibar zinaishia bandari ya zanzibar na...
Tuanze na michango ya CCM kwanza Maana toka uanze mfumo wa vyama vingi ccm hajawahi kutumia fedha nyingi kama ilivyotumia kwenye uchguzi huu
ilinunua vituo vya radio karibia vyote
Ikanunua vipindi vya Tv karibia vyote
Ikateka magazeti karibia yote
Ikanunua wanasiasi wenye ushawishi wa hali ya...
Kuna haja gani ya kiongozi mkubwa kama Rais kuapa Kuwa Itailinda na Kuitetea Katiba Ya Nchi Yake Na Mwisho wa Siku Yeye Ndo Anakuwa Kinara Wa Kuivunja?
Kipindi chake cha miaka mitano kimekwisha shein sio rais wa zanzibar tena
CCM muwe mnakubali kupoteza sometimes,Wasukuma wanaita GIVE AND TAKE
Zanzibar mmeipoteza sababu ya kuweka nguvu kubwa bara kwenye uchaguzi huu,Mpeni maalim haki yake
Mbona anapenda sana kumnanga Kikwete huyu jamaa? Kila analolisema ni dongo kwa rais pamoja na yote magufuli niwa kuangalia jicho la tatu kuna uwezekano akishinda uchaguzi huu akafunda hata hao hao viongozi anaotembea nao kwenye kampeni shauri zenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.