Habari wanajf!
Niende kwenye mada husika moja kwa moja. Jamani wanaume kuna wakati tuwe wawazi tu katika mahusiano yetu kuwa ni ngumu sana kwa mwanaume rijali kuwa na mke mmoja! Najua wapo watakaotoa povu na wengine kusema wanaume masikini ndiyo wanaoendekeza hii kitu lkn si kweli, kama dume...
Habari wanajukwaa!?
Kwanza naomba niwaombe radhi kwa kuja na ID mpya ingawa humu mimi si mgemi kwn hadi sasa nina miaka 8 ya uanachama.
Turudi katika mada!
Historia kwa kifupi
Kwa jinsia mimi ni mwanaume wa miaka 35 nina mke na watoto wawili ambapo hadi ss ndoa yetu inaelekea kuanza mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.