Wakuu naitaji mwenye nyimbo hizi. 01 Public enemy- "fight The power" 02.sugarhill Gang-"Rapper's Delight". 03.Dr.Dre-"Nuthin But A 'G' Thang" 04.Run-DMC ft/Aerosmith-"walk This way" 05.N.W.A-"straight outta compton " 06.Notorious B.I.G-"juicy" 07.Snoop Doggy Dogg-"Gin and juice"...
Naombeni msaada wana jf.
mwezi mmjo uliopita niliumia mkono ( kuanguka) kwenye maungio kati ya mkono na kiganja picha iyo apo chini pamoja na X ray nilienda hospital wakanifunga p.o.p sasa Jana nimetolewa nakukuta mkono ukiwa umebadilika na uko tofauti yani bado aujakaa vizuli na unauma picha...
Leo asubuhi nimeteleza sasa ile kutua chini nikatulia mkono wa kushoto.
mkono ukajikunga(kugeuka) na kuvimba pia nakuuma sana naomba kama kuna mjuzi anisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.