Ipo ivi TCU wanautani leo tarehe 24 wametoa taarifa kuhusu majina kutoka na majina yaliyotoka ni ya wale wa vyuo zaidi ya kimoja kwa wale ambao vyuo viwil aubzaid yapo Katika web ya TCU
Wamesema watawasilishamajina vyuo husika
Ikumbukwe ksh tare 25
Tar 26 mwish
Hapo bado mtandao haujasumbua ?
Nilikuwa na swali kidg ngependa kujua
Kuna coz inatolew udsm inaitwa Bachelor of arts in public relatn and adiverts
Ngepend kujua hii inahusu nn?
Soko lake la ajira ?
wamalizao katk hii coz hufanya kazi katka sekta zip?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.