Jamani nimekuwa naperuzi jf km guest na niliijua jf kupitia kwa dada yangu mpendwa na tokea siku nimeiperuzi kwa mara ya kwanza nikajilaumu kwa nini sikuijua tokea zamani. Jamani jf ipo juu sana na leo nimeamua kuwa member rasmi. Nawasalimu wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.