Search results

  1. E

    Nimeamua kuwa member

    Jamani nimekuwa naperuzi jf km guest na niliijua jf kupitia kwa dada yangu mpendwa na tokea siku nimeiperuzi kwa mara ya kwanza nikajilaumu kwa nini sikuijua tokea zamani. Jamani jf ipo juu sana na leo nimeamua kuwa member rasmi. Nawasalimu wote.
Back
Top Bottom