Naitwa husna nina umri wa miaka 21 elimu yangu ni certificate ya kidato cha nne nina ishi dar es salaam kitunda
Wakuu natafuta kazi nina uwezo wa kuuza duka na kusimamia biashara Ipasavyo
Ni muaaminifu pia kama una kazi nyingine tofauti labda waweza nielekeza naweza ifanya kwa uwezo mkubwa...
Naitwa husna nina umri wa miaka 21 elimu yangu ni certificate ya kidato cha nne nina ishi dar es salaam kitunda
Wakuu natafuta kazi nina uwezo wa kuuza duka na kusimamia biashara Ipasavyo
Ni muaminifu mwenye hofu ya mungu pia naweza leta mendeleo katika biashara yako naongea kiswahili na...
Mimi naitwa husna naishi dar kitunda natafuta kazi ya kuuza duka la halali maeneo ya dar nina umri wa miaka 21 nina elimu ya kidato cha nne ni Muaminifu na nina heshimu biashara ya mtu pia naweza kusimamia biashara yako na ikaenda sawa sawia
naongea ki Swahili na English ni m Tanzania kamili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.