By Denis Chinula: Mimi binafsi nafikiri viongozi wetu wanafahamu nini kimesababisha kifo chake, au kama hawajui basi watajua kupitia ripoti ya madaktari.
Kwa kweli haina maana kusema kuna viongozi wa dini wanajihusisha na madawa ya kulevya halafu hawatajwi wao wala madhehebu yao, kwani wao ni nani hata wastajwe? mbona Biblia imewataja kina mfalme Daudi pale walipotenda dhambi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.