Habari zenu wakuu
Wakuu na wajuzi wa kudadavua mambo, naomba mnisaidie kuelewa hii dhana ya Tanzania ya viwanda. Nimesikia viongozi mbalimbali wakitamka kuwa vimejengwa takiribani viwanda elfu tatu na ushee. Je, ni kweli wanamanisha viwanda? Mimi nikisikia Tanzania ya viwanda mawazo yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.