Wakuu habari zenu? Mmeshindaje?
Sasa Wakuu kuna shida kidogo nahitaji ushauri wenu kuna mdogo wangu alikuwa anasoma Arusha shule ya msingi sasa kule kulitokea shida kidogo akaamishwa shule akaletwa Ukerewe.
Wakati anaamishwa alkuwa darasa la sita lakini shuleni alipohamia Mwalimu Mkuu akakataa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.