Search results

  1. B

    Freeman Mbowe: Ujenzi wa Demokrasia ni safari ndefu yenye milima, mabonde, miiba, mawe na kila aina ya majaribu yenye vikwazo

    Hata CDM pia hakuna kuhoji.Sasa ni mabadiliko gani wanayotuambia.Kumbe nao wezi tu,hakuna uwazi.
  2. B

    Freeman Mbowe: Ujenzi wa Demokrasia ni safari ndefu yenye milima, mabonde, miiba, mawe na kila aina ya majaribu yenye vikwazo

    Watu wanataka upinzani uonyeshe mfano wa uwazi wa matumizi ya fedha ili waaminiwe,halafu una kuja na hoja ya kujilinganisha na CCM ambao unawatuhumu.Kwa maana hiyo hata CDM ni wale wale wezi.
  3. B

    Freeman Mbowe: Ujenzi wa Demokrasia ni safari ndefu yenye milima, mabonde, miiba, mawe na kila aina ya majaribu yenye vikwazo

    Unakomaa na kununuliwa,mbona hoja ya ruzuku hutaki kuigusia.Hata Zito alitimuliwa kwa sababu ya kuhoji ruzuku
  4. B

    Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara(CHADEMA) ajiuzulu na kuhamia CCM

    Mkuu umenena vyema,kuna kitu CDM wanapaswa kukiweka sawa kuhusiana na ruzuku
  5. B

    Wana CCM tumshauri Kigwangala afanye kazi ya uwaziri. Anachokifanya sasa ni utalii mtupu

    Ndo maana nampongeza Rais Magufuli style anayotumia kuongoza nchi.Ukiwasikiliza waswahili hakuna kitu utafanya.Muda ukiisha wanakulalamikia hukufanya lolote.
  6. B

    Serikali ya awamu ya tano yatenga Tshs Bilioni 495 kununua ndege mbili mpya za kisasa

    Kama wewe haupandi tulia,wengine tunapanda
  7. B

    Ukuta utazuia raia kujenga holela kwenye eneo la machimbo ila si kuzuia wezi wa madini maana hawatokei porini

    Wewe ulitaka takwimu ya namna gani.Tulieni Rais afanye kazi,mlizoea ujanja ujanja.Fuata sheria ili upate kipato halali,vinginevyo utazeeka vibaya.Magufuli kaza buti.
  8. B

    Manyara: Rais Magufuli azindua Ukuta wa Mirerani uliojengwa na JKT, ampa milioni 100 mgunduzi wa Tanzanite

    Mkuu kauli kama hii sio nzuri sana kwa watu fulani wanaojiita wazalendo
  9. B

    Rais Magufuli kuzindua nyumba za makazi ya Polisi Arusha 07/04/2018

    Wakati Gharib Bilal akifanya hizo kazi za kuzindua,JK alikuwa anabezwa kuwa kiruka njia hayuko nchini,na sasa ni safari ya 380
  10. B

    Ujenzi wa ukuta na ulinzi Mirerani, Tanzanite italindwa?

    Mkuu umenena vema,JK aliacha Demokrasia ichukue mkondo wake lakini walimtukana na kumdhalilisha.
  11. B

    Ujenzi wa ukuta na ulinzi Mirerani, Tanzanite italindwa?

    Hahaha,hivi zile fedha alizotoa Mzee Sabodo ili wajenge ofisi walizifanyia nini,
  12. B

    Mtatiro/Zitto: Sherehe za Bombadier zikiisha tuhesabu hasara za ATCL, tumelipa dola mil 60 kukomboa ndege zilizokamatwa

    Rais ameshanunua ndege na amewakabidhi wataalam waendeshe shirika,wewe unataka nini sasa kama sio kutaka kumpotezea muda Rais ili ikifika 2020 mje mtupigie kelele Nchi miaka yote haina ndege.Tulieni,kwa huu unafiki wenu ikulu mtaendelea kuisoma Kwenye magazeti
  13. B

    Mtatiro/Zitto: Sherehe za Bombadier zikiisha tuhesabu hasara za ATCL, tumelipa dola mil 60 kukomboa ndege zilizokamatwa

    Wewe ndo sufuri kabisa,unashindwa hata kujua jambo dogo kwamba miaka yote ATCL ilikuwa inaendeshwa na wataalamu hao hao unaowasema.Mwacheni Rais afanye kazi alizotuahidi
  14. B

    Kwa mara ya kwanza katika historia ya maisha yake ya kisiasa Mbowe amelala mahabusu

    Tangu atoke Dk Slaa na Chacha Wangwe,waliobaki CDM wote ni watu maslahi binafsi.Watu wengi wamerudi nyuma.
  15. B

    Watawala walipasa kumkumbatia Mbowe pengine kuliko hata watu wa chama chake

    Mkuu umenena vema,hawa walizoea cheap politics enzi za Mkwere.Amekuja Magufuli kwa moto wakasema ni Sera Zao,mara ni nguvu ya soda,Magu amebana ujanja ujanja wote waliouzoea wameanza kulalamika.Poor opposition.Magufuli kwa sasa ndio kiongozi anayetufaa ili kudhibiti unafiki wa kiutawala ndani...
Back
Top Bottom