Salam wote.
Kuna taarifa kuwa asilimia kuwa asilimia kubwa ya wanaume wa ukanda wa mwanza hasa Geita hawajafanyiwa tohara. Utafiti unasema kuwa, tohara inapunguza maambukizi ya HIV kwa 60%.
Wanaume wa Geita hebu fungukeni je ni kweli hii?
Kama ni kweli inabidi mjitahidi mfanyiwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.