Mbona umesahau kusema kuwa waendesha bodaboda wa njombe walilipwa pesa kabla na kujaziwa mafuta kwa ajili ya kujiunga na msafara wa mapokezi yako na kuwapa bendera bure.
Huyu mkono ndo yule alieshirikiana na wenzake kuiba fedha pale BOT na badae wakaichoma moto na wenzake. Akakimbia nchini, Nyerere alimpiga marufuku kurudi Tanzanian na wale wanaofatiliaMkono alirudi Tanzania baad ya Nyerere kufa.
Hata hizo shule anazojenga anapiga picha mazingira halafu...
aliekuwa waziri wa sayansi na elimu ya juu aliwahi kuwaita wa wafanya biashara walioko dar wenye asili ya nyanda za juu ( wakinga, wahehe.........)
akawambia kuwa wazawa wanalalamika kuwa ccm haiwapi fursa ya kugombea nyadhifa mbalimbali za kisiasa serikalin il wanawap wafanyabiashara weny...
Udongo wenyewe ulichanganywa na nyerere peke yake. Kwenye picha ya kuchanganya udongo sijawahi kumuona karume anashiriki labda kama vitabu tulivosoma walikosea kuprint picha
Dr bana ni mshauri wa kikwete katika siasa kwa mtazamo wangu anafanya swehemu ya kazi yake, ila kiukwele bila sheria huyu hakutakiwa kuwepo duniani maana hata sioni tofauti ya u dr wa kikwete na wa kwake.
Anajua Dr wa ukweli hatamuonea haya wala huruma kwa yale anayofanya kwa kuwa hashawishiki kirahisi, ndo maana kwa kuangaliaa mbele anaona kabisa kwa kuwa nchi kwa sasa inaimani na CHADEMA hivyo anajribu kuangalia ni kwa jinsi gani atalindwa na yeyote atakae kuja baada yake. Maana ZIMWI LIKUJUALO...
wapo viongozi wachache ambao mimi nimewaona wakitibiwa pale taasisi ya mifupa (MOI). Dr slaa amekuwa akitibiwa pale mkono wake tangu alipoumia wakati kuna vigogo wengine ambao wanapata matatizo kama hayo ya dr wanakwenda nje. Sijui kwa lipumba lakini vigogo wa serikali pamoja na matibabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.