Niende kwenye hoja husika , jaman hawa jamaa wa wrong parking wanasumbu sana hasa kwa hapa Arusha, sijui sheria inasemaje unakuta umepata emejenci unamsubir mtu aje muuondoke gafla wanatokea na kukupiga cheni tena dereva akiwa ndani ya gari..je hi ipo sawa sheria inasemaje. Pil niombe uongoz wa...
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, kwenye harusi au sendoff nyingi kuna kuwa na keki mbili, keki ya unga na Ndafu..naomba kujua hii keki ya ndafu inakuwa na maana gani ktk hizi shuhuli
Nimeshindwa kuelewa umbali kutoka arusha hadi namanga ni 105 km na nauli yake ni tsh 7000, umbali kutoka Arusha hadi kilimanjaro ni 85 km nauli yake ni tsh 3000. Nashindaa kuelewa tofaut ya kilometa na nauli , kwa nn namanga nauli ipo juu sana
Ni wazi kabisa kuwa mabasi makubwa takriban yote yamefungwa vidhibit mwendo kama serikali ilivyooeleza, kwa kiuzoefu changu kidogo haya mabazi yakivuka speed iliyowekwa na serikali naona mengi yanatoa alarm jadi sisi abiria tunasikia lakin cha kushangaz mbona maderava hawajali hata hiyo alarm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.